Da ni fikra za kipuuzi naweza kusema ivyo kutokana na watu wanao dhani kila anaefanikiwa lazima apite kwenye ulimwengu wagiza wapo wanaozidi kusema kuwa huyu dogo anatumia ushirikina, jamani hata kama huna masikio huoni?
Dogo anajuhudi na isitoshe anausimamizi mzuri kama alivyo leo mzee mapesa na penda kumuita billioner young super star Daimond Pltnm ambae anazidi kung'aa kwa juhudi na kujituma huku na kule lengo kutengeneza msingi mzuri hata wa wasanii wengine wadogo wanaotokea Afrika hususani Afrika mashariki.
Kitu kingine cha ajabu na kinacho wapajeuri wavifu wakufikiria et wanapendwa na wanawake wanapo kuwa stegini wanadai wanatumia dumba kuwavuta mmmmmmmh si kweli
Nimeamini pesa ni mbolea kwenye mapenzi.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni