TUZO ZA GRAMMY ZA PAMBA ZA TIKISA ALFAJIRI YA LEO.
Kwa mara ya 61 tuzo hizi kufanyika nchini Marekani, kuna orodha kubwa ya wasanii walioshinda tuzo za Grammy na kuna wasanii waliokuwa kivutia katika tuzo hizo. Drake na Cardi B ndio walikuwa gumzo zaidi huku Cardi B akishinda tuzo na Drake akiondoka na tuzo lakini walikuwepo wengi walioshinda tuzo tofauti tofauti.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni